ULEGA AAGIZA UCHUNGUZI WATENDAJI WA BRT AWAMU YA NNE

ULEGA AAGIZA UCHUNGUZI WATENDAJI WA BRT AWAMU YA NNE

• Ataka ripoti ya wasimamizi na washauri wote• Akerwa na uzembe wao unaosababisha misongamano• Aeleza jinsi Rais Samia anavyoumia kwa foleni mijini Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameagiza kupelekewa taarifa kamili za wasimamizi na mshauri mwelekezi wa ujenzi wa miundombinu ya Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) Awamu ya Nne baada ya kushuhudia uzembe […]

Read More
 TANZANIA, MOROCCO KUONGEZA USHIRIKIANO SEKTA YA NISHATI

TANZANIA, MOROCCO KUONGEZA USHIRIKIANO SEKTA YA NISHATI

📌 Matumizi ya teknolojia kupewa kipaumbele Sekta ya Nishati 📌 Morocco wampongeza Rais Samia kwa usimamizi bora Sekta ya Nishati Na Mwandishi Wetu, Morocco JAMHURI ya Muungano wa Tanzania na Ufalme wa Morocco wamekubaliana kuimarisha ushirikiano wa matumizi ya teknolojia katika Sekta ya Nishati ili kuiwezesha sekta hiyo kuwa na mchango endelevu nchini. Hayo yamebainishwa […]

Read More
 ULEGA AVUNJA MKATABA WA MKANDARASI MZEMBE

ULEGA AVUNJA MKATABA WA MKANDARASI MZEMBE

Na Mwandishi Wetu, Tanga Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametangaza kuvunjwa kwa mkataba wa ujenzi wa barabara Mkoani Tanga baada ya Mkandarasi kutoka China kushindwa kutimiza masharti ya mkataba. Mkandarasi huyo, kampuni ya China Railway 15 Bureua Group anayejenga barabara ya Tanga – Pangani – Mkwaja – Bagamoyo (Makurunge) sehemu ya Tungamaa – Mkwaja – […]

Read More
 DKT. BITEKO ASHIRIKI TULIA MARATHON MBEYA

DKT. BITEKO ASHIRIKI TULIA MARATHON MBEYA

📌 Ampongeza Dkt. Tulia kwa ubunifu na kusaidia wahitaji 📌 Wananchi 9,000 wapata bima za afya kupitia Tulia Marathon 📌 Awashukuru wadau na wasanii kwa kushiriki Tulia Marathon Na Mwandishi Wetu, Mbeya NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amempongeza Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais […]

Read More
 WANANCHI ZAIDI YA MILIONI MBILI WAPATIWA MSAADA WA KISHERIA NA MIGOGORO ZAIDI YA ELFU TANO YATATULIWA

WANANCHI ZAIDI YA MILIONI MBILI WAPATIWA MSAADA WA KISHERIA NA MIGOGORO ZAIDI YA ELFU TANO YATATULIWA

Jumla ya wananchi 2,774,495 wakiwemo wanawake 1,390,535 na wanaume 1,381,960 wamepatiwa huduma za Msaada wa Kisheria tangu kuzinduliwa kwa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia kwa upande wa Tanzania Bara mwezi Machi 2023. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Jumanne Sagini wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Msaada wa […]

Read More