Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa
na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika
Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax, Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Dkt. Moses Kusiluka, Kamishna wa Maadili Jaji Mhe. Sivangilwa Mwangesi kwenye picha ya kumbukumbu na Mabalozi Wateule aliowaapisha kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino, Mkoani Dodoma tarehe 16 Agosti, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan
amewataka Mabalozi kufuatilia utekelezaji wa Mikataba na Hati za Makubaliano
zinazotokana na ziara za viongozi ndani na nje ya nchi.
Rais Samia ametoa tamko hilo leo katika hafla ya kuwaapisha Mabalozi wateule
iliyofanyika Ikulu, Chamwino.
Aidha, Rais Samia amesema ufuatiliaji huo uende sambamba na utekelezaji wa
makubaliano kati ya Tanzania na nchi mbalimbali yanayotokana na Tume za Pamoja
za Ushirikiano na Mashauriano ya Kidiplomasia.
Vile vile, Rais Samia amewataka Mabalozi kuibua masuala ya ushirikiano katika
vituo vyao vya kazi na kutafuta fursa mbalimbali ikiwemo katika sekta ya uwekezaji,
utalii pamoja na mahitaji ya ‘diaspora’.
Rais Samia pia amewataka Mabalozi kufanya kazi kwa kuzingatia Dira ya Ajenda za
Maendeleo za kimataifa na kitaifa ikiwemo falsafa ya 4Rs (Maridhiano, Ustahamilivu,
Mabadiliko na Kujenga Upya) kwa maslahi ya taifa.
Kwa upande mwingine, Rais Samia ameielekeza Ofisi ya Waziri Mkuu kuhakikisha
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inaandaliwa mfumo
utakaoingiza maelekezo ya ziara za viongozi wa ndani na nje ya nchi.
Rais Samia ameongeza kuwa mfumo huo utaonesha jukumu la kila wizara kwenye
makubaliano yaliyofikiwa ili kuweza kupima utekelezaji wa makubaliano yaliyofikiwa.

4 Comments
including their ability to raise new erections soon after ejaculating so the couple could go second and sometimes even third rounds.While the cougars in the study placed great value on cunnilingus,高級 ラブドール
Ищете обмен валюты с минимальной комиссией? На сайте собрана информация об обменниках с лучшими курсами в Казахстане.
Кредиты Кредиты .
С помощью платформы вы можете легко найти микрозаймы с минимальными процентными ставками. Это удобное решение для срочных финансовых нужд.
Микрокредиты банки Казахстана .
Идеальное остекление для балконов в Санкт-Петербурге, подберем идеальное решение.
Элитное остекление для балконов в Санкт-Петербурге, под ключ и без переплат.
Эксклюзивное остекление для балконов в Санкт-Петербурге, по индивидуальным проектам и с использованием прочных материалов.
Надежное остекление балконов в СПб, с оригинальными комплектующими и возможностью долгосрочного сотрудничества.
Остекление балкона под ключ в СПб, с учетом всех требований и технических норм.
остекление лоджий цена https://balkon-spb-1.ru/ .