SERIKALI kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF)kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo na hasa Shirika la Kimataifa la Kuhudumia Watoto(UNICEF) wamezindua Mpango wa Stawisha Maisha kwa lengo la kuimarisha hali za lishe kama sehemu ya kukabiliana na changamoto ya utapiamlo kwa kaya masikini ambazo ziko kwenye mpango wa TASAF.

Uzinduzi wa Mpango huo umefanyika Oktoba 29,2024 katika Wilaya ya Mkuranga mkoani hiyo na kuhudhuriwa na viongozi, wadau wa maendeleo pamoja na wananchi ambao ndio walengwa wakuu ambapo kupitia mpango huo wa Stawisha jamii wananchi watahamasisha kuhusu lishe bora sambamba na kupatiwa mafunzo na kubadilisha uzoefu kupitia katika vikundi ambavvyo wameavianzisha.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mpango huo uliofanyika Kijiji cha Mkiu wilayani Mkuranga mkoani Pwani uliokwenda sambamba na kukabidhi redio zinazotumia nguvu za juu kwa vikundi vya walengwa Stawisha Maisha, Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Shedrack Mziray amesema kwamba moja ya sababu ya kuanzishwa kwa mpango huo ni kukabiliana na changamoto ya udumavu ambayo kimsingi inayosababishwa kwa utapiamlo kwa sehemu kubwa.

“Athari za janga hili ni kubwa ikiwemo kuongezeka vifo vya Watoto , matatizo ya akili, matatizo ya kiafya ya kudumu ambayo yanaweza kuwafuatia Watoto hawa hadi umri wa utu uzima zikifunguka kaya nzima zinazozunguka kwa umasikini. Changamoto hizi husababisha madhara zaidi ikiwemo kuendeleza mzunguko wa umasikini ambao sio tu unawaathiri watu binafsi bali na kaya nzima kwa ujumla.
“Ili kukabiliana na changamoto ya udumavu, Serikali kupitia TASAF kwa kushirikiana na Washirika wa maendeleo hususani UNICEF umeanzishwa Mradi wa Stawisha Maisha ambao utasaidia jamii kubadili tabia.Mradi huu ni sehemu ya mtandao wetu mpana wa kunusuru kaya masikini ambao tunautekeleza lakini lengo ni kupunguza utapiamlo kwa watoto hasa kwa kaya ambazo zipo katika hatari zaidi zilizopo kwenye mpango wa kunusuru kaya masikini.”

Mziray amesema kupitia mpango huo wanalenga kukuza maendeleo ya rasilimali watu na kuziwezesha kaya kujiweka huru kutoka katika mnyororo mzima wa umasikini kwa kuzingatia elimu na msaada kuhusu lishe kwa akina mama , Watoto wachanga , Watoto wadogo , sit u tunatatua matatizo ya kiafya yaliyopo sasa pia tunawekeza katika siku zijazo za taifa letu.
Amesema mpango wa Stawisha Maisha umeundwa kwa vipengele kadhaa muhimu ambavyo wanaamini vitaleta mabadiliko katika jamii na kufafanua wanavyo vipindi vya redio vyenye kuelimisha na kuburudisha kila wiki katika kipindi cha miezi sita na vipindi hivyo vitatoa elimu muhimu kuhamasisha jamii kushiriki katika mijadala muhimu kuhusu kuimarisha lishe.
“Usambazaji wa redio zinazotumia nguvu ya jua kusambaza katika kaya hizo tunalenga pia kuongeza majadiliano katika vikundi vitakavyokuwa vinasimamiwa na walengwa wenyewe ambapo watajifunza na kuhamaishana kutatua matatizo kwa pamoja.Mkazo wetu ni kwenye kaya zenye watoto chini ya miaka mitano , akina mama wajazito na wasichana wenye umri balee.

Kwa upande wake Mwakilishi wa UNICEF nchini Lawrence Oundo amesema utampamlo ni tatizo kubwa na linasababishwa kwa kiasi kubwa na watu walio katika umasikini. “Tunahitajika kutumia njia mbalimbali katika mapambano dhidi ya utapiamlo. Lengo ni kuondoa tatizo hilo kwa jamii na kupata lishe bora” amesema na kuongeza “Leo tunazindua mpango muhimu wa Stawisha Maisha. Huu ni mpango ambao UNICEF kwa kushirikiana na TASAF wamekuja nao kuutazama umaskini na kuhakikisha wanaoundoa katika jamii.”
Amesema Serikali ya Tanzania inayo mipango mingi ikiwemo Dira ya Taifa 2025-2050 inayokuja ambayo inautazama umaskini katika nyanja mbalimbali na kwamba Stawisha Maisha ni mpango muhimu kati ya TASAF na UNICEF kuhakikisha wanapunguza umaskini kwa watanzania na kukuza uchumi wa wananchi kupitia mbinu mbalimbali za stadi za maisha.
Awali Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Omari Mwanga ambaye pia ni Katibu Tawala wa Wilaya hiyo amesema mpango wa Stawisha Maisha katika wilaya hiyo unalenga kuboresha maisha ya wanananchi na kwamba mpango wa Stawisha Maisha katika wilaya hiyo walishaanzisha vikundi vya Stawisha maisha katika Kata 13 na vijiji 19,jumla ya vikundi 30 vimeundwa na vikundi hivyo vitakuwa vikikutana mara moja kwa wiki kwa lengo la kumsikiliza vipindi vya redio vyenye maudhui yanayolenga kuelimisha na kuhamasisha umuhimu wa kujali Lishe Bora kwa watoto , wajawazito na wasichana balee.

“Tunaishukuru Serikali inayoongozwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kupitia wadau wa maendeleo kutupatia Mpango wa Stawisha maisha kwa ajili ya kuimarisha lishe kwa wananchi wa Mkuranga.Tunakila sababu ya kutoa shukrani kwasababu katika mwaka wa fedha 2024/2025 tumeanza mchakato wa kuibua miradi ya kutoa ajira za muda.
“Jumla ya miradi 122 imeibuliwa katika vijiji 125 .Katika miradi iliyoibuliwa 83 ni ya upandaji miti, miradi 27 ya barabara za mitaa ,miradi 10 ya vivuko vya waenda kwa miguu ,mradi mmoja wa Bwawa kwa ajili ya umwagiliaji na mradi mmoja wa kisima kifupi.Miradi yote itagharimu Sh.170,731,100 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa gharama za ujira kwa walengwa ni 640,080,000.”
Hata hivyo amesema kwa kipindi cha Julai 2023 hadi Septemba 2024 jumla ya watoto 167,680 walifanyiwa uchunguzi wa hali ya lishe Kati ya hao waliokuwa na hali nzuri ya lishe ni asilimia 55.3 ikiwa ni ongezeko la asilimia 2.3 kutoka lile la mwaka 2022 .Waliokuwa na uzito pungufu ni asilimia 10.0 toka 13.3 ,ukondefu asilimia 4.6 toka asilimia 4.9 wakati upungufu wa damu asilimia 20.3 toka asilimia 23.
41 Comments
Somebody essentially help to make significantly articles Id state This is the first time I frequented your web page and up to now I surprised with the research you made to make this actual post incredible Fantastic job
Ümraniye süpürge boru temizliği Süpürgemi kısa sürede tamir ettiler, çok memnun kaldım. http://blog.bestdotnettraining.com/question/elektrikli-supurge-tamiri/
создание кассового чека онлайн
утерян кассовый чек
кассовый чек на бензин
требования к кассовому чеку для авансового отчета
кассовый чек срок пробития
deep web drug links tor market url tor market url
darknet drug store tor darknet dark web sites links
dark websites darknet market dark web access
darkweb marketplace deep web sites dark market 2024
dark markets 2024 https://mydarknetmarketlinks.com/ – deep web markets how to access dark web
darkmarket 2024 https://mydarknetmarketlinks.com/ – darknet markets black internet
darknet drug store https://mydarknetmarketlinks.com/ – tor darknet deep web links
deep web drug links https://mydarknetmarketlinks.com/ – darknet market dark market 2024
how to get on dark web https://mydarknetmarketlinks.com/ – tor markets darkmarket
blackweb official website https://mydarknetmarketlinks.com/ – darknet site dark websites
dark web markets https://mydarknetmarketlinks.com/ – dark web market darknet websites
dark web sites links https://mydarknetmarketlinks.com/ – drug markets dark web darknet drug store
dark web websites https://mydarknetmarketlinks.com/ – dark web search engines dark web market list
deep web sites https://mydarknetmarketlinks.com/ – darknet marketplace tor darknet
darknet search engine https://mydarknetmarketlinks.com/ – darknet search engine dark market
darknet markets 2024 https://mydarknetmarketlinks.com/ – tor markets 2024 how to access dark web
darkweb marketplace deep dark web dark markets 2024
how to get on dark web dark web drug marketplace deep web search
dark web market list darknet markets 2024 dark market onion
dark web market list dark web markets darknet market links
dark web site tor marketplace tor market url
deep web links dark web market links dark market link
deep web drug markets darkmarkets darkmarket 2024
deep web drug markets tor markets dark markets
dark web market links tor markets dark web drug marketplace
darkmarket url dark internet darknet market
darknet links darkmarket 2024 tor markets 2024
dark web market links dark web search engines tor dark web
dark web site bitcoin dark web darknet site
dark markets 2024 darknet market list darknet site
darknet seiten dark market dark market url
deep web search dark web search engines bitcoin dark web
dark web sites tor market links deep web drug store
I would like to thnkx for the efforts you’ve put in writing this website. I am hoping the same high-grade website post from you in the upcoming also. In fact your creative writing skills has inspired me to get my own website now. Really the blogging is spreading its wings rapidly. Your write up is a good example of it.