Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Mwenda amewaahidi wafanyabiasha na watoa huduma mbalimbali nchini kuwa Serikali ipo kwaajili ya kuweka Mazingira mazuri ya kufanyia shughuli zao ili ikusanye mapato bila shida.

Akiwa ziarani mkoani Kilimanjaro kwaajili ya kuwashukuru na kuwasikiliza Walipakodi Kamishna Mkuu Mwenda amesema wafanyabiasha na watoa huduma mbalimbali wanapokutana na changamoto wanapaswa kuzungumza na mamlaka zinazohusika na siyo kukaa kimya.
Amesema iwapo hawatavunja ukimya Serikali haiwezi kujua kama wanakabiliwa na Changamoto zozote badala yake itakuwa ikiwadai Kodi.
Amesema katika ukusanyaji wa mapato biashara kwanza ndiyo mapato yanafuata hivyo jukumu la TRA siyo kukusanya mapato peke yake pia wanawajibika kutazama Mazingira ya biashara ili kuondoa vikwazo.

Kamishna Mkuu Mwenda amesema Ziara anazofanya na kuzungumza na Walipakodi moja kwa moja ni zinalenga kutoa zawadi kwa Walipakodi, Shukrani, Elimu na kusikiliza changamoto zao ili kuwawezesha walipe Kodi kwa hiari.
“Nimekutana na kuzungumza na Walipakodi wengi katika mikoa tofauti, nilichogundua tunapaswa kuwa na ukaribu nao, wakati mwingine kinachokosekana ni taarifa sahihi” amesema Kamishna Mkuu Mwenda.
Baadhi ya Walipakodi mkoani Kilimanjaro ambao wamepata fursa ya kutembelewa na Kamishna Mkuu wa TRA akiwemo Catherine Muhina meneja uendeshaji Kampuni ya Utalii ya Alteza amesema awali kabla ya kutembelewa na Kamishna Mkuu wa TRA alikuwa akijua kuwa TRA ni adui wa mfanyabiashara.
Amesema ujio wa Kamishna Mkuu wa TRA umewaondoa hofu na kuwawezesha kueleza changamoto zao Hali itakayowafanya wajivunie kulipa Kodi.
9 Comments
Its like you read my mind! You appear to know a lot about this, like you wrote the book in it or something. I think that you could do with some pics to drive the message home a bit, but instead of that, this is great blog. A fantastic read. I’ll definitely be back.
Superb post however I was wondering if you could write a litte more on this subject? I’d be very thankful if you could elaborate a little bit more. Thank you!
https://tyres.com.ua/yak-led-linzi-pokrashchuyut-vidimist-na-dorozi
https://vc.ru/
What a information of un-ambiguity and preserveness of precious know-how about unpredicted feelings.
http://ibnews.com.ua/yak-led-lampy-zminyuyut-nichnu-yizdu.html
My partner and I stumbled over here different web address
and thought I may as well check things out.
I like what I see so i am just following you. Look forward to going over your web page yet again.
Feel free to visit my web blog :: nordvpn coupons inspiresensation (t.co)
Hi there this is somewhat of off topic but I was wanting to know
if blogs use WYSIWYG editors or if you have to manually
code with HTML. I’m starting a blog soon but have no coding
experience so I wanted to get guidance from someone with experience.
Any help would be enormously appreciated!
Also visit my webpage nordvpn coupons inspiresensation
Hi there to every one, the contents present at this site
are actually amazing for people experience, well, keep up the good work
fellows.
Here is my blog post … nordvpn coupons inspiresensation (http://shorter.me/nordvpn-coupons-inspiresensation–23809)
I am not sure where you are getting your info, but great topic.
I needs to spend some time learning much more or understanding more.
Thanks for wonderful information I was looking for this info for
my mission.
Also visit my site: nordvpn coupons inspiresensation, t.co,
nordvpn 350fairfax
Great blog! Is your theme custom made or did
you download it from somewhere? A design like yours with a few
simple adjustements would really make my blog stand out. Please let me know
where you got your theme. Thanks