đź“Ś Asisitiza Mifumo iboreshwe kuakisi Maendeleo

đź“Ś Serikali kuweka Mazingira wezeshi kwa wadau wa STARTUPs

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa pamoja na jitihada za kuwainua wabunifu wawekezaji nchini, bado kuna umuhimu mkubwa wa kuwawezesha wabunifu wetu kukua zaidi ndani na nje ya mipaka ya nchi.

Dkt. Biteko amesema hayo leo Desemba 16, 2024 Jijini Dar es Salaam alipomwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kufungua Kongamano la Uwekezaji wa Kampuni Bunifu (STARTUPs)

Amesema kuwa Tanzania imerekebisha mifumo mingi ili kuwezesha ubunifu na uwekezaji wa moja kwa moja nchini kuleta maendeleo, suala ambalo tumeona likifanikiwa na kwahiyo linahitaji kupaliliwa na kuungwa mkono kwa matokeo chanya.

“Nimewasikiliza wanakongamano na kupitia majadiliano haya ni wazi kwamba bado kuna namna ya kuboresha zaidi mifumo yetu ya usimamizi na utawala ili kuhakikisha Wabunifu wanapata nafasi nzuri zaidi.” amesema na kuongeza kuwa, Tunatamani kuona Watanzania wanashiriki katika kukuza uchumi wa nchi yao na pengine kuazimwa katika nchi nyingine.” amesema Dkt. Biteko

Amesema wapo baadhi ya Watanzania wanaofanya shughuli zao nje ya Nchi ambao wanaiwakilisha vema Tanzania kutokana na kufanya kazi kwa kuzingatia misingi iliyowekwa katika nchi hizo na hivyo kuwataka wabunifu wawekezaji kuiga mfano huo.

Aidha, Dkt. Biteko amesema kuwa Maono ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan yako wazi na kwa nyakati mbalimbali amekuwa akijipambanua kuhusu uwezeshaji wa makundi mbalimbali wakiwemo wabunifu wawekezaji.

“kwa kutekeleza maono ya Rais, ni muhimu kuwasikiliza, kuwaamini na kufanyia kazi maoni na bunifu zao ili kuboresha mazingira yatakayo wawezesha kutekeleza Bunifu zao na kupata fursa ndani na nje ya Nchi”.

Naye, Naibu Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Mhe. Stanslaus Nyongo akimwakilisha Waziri wa Wizara hiyo, Prof. Kitila Mkumbo amesema Serikali imekuwa ikizingatia suala la uwezeshaji kwa Wabunifu Wawekezaji ikiwa ni pamoja na kupokea maoni yao kupitia Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050.

Nyongo ameongeza kuwa, Serikali imeboresha mazingira ya biashara kwa kupunguza gharama za biashara ili kuwawezesha wabunifu kutimiza ndoto zao.

Kwa upande wake, Waziri Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry Silaa amesema Wizara imeandaa mazingira ya kuwawezesha Wabunifu kufanya majaribio ya kazi zao kupitia mifumo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA).

Amesema Serikali imejenga vituo vya ubunifu vinane (8) katika maeneo mbalimbali ya nchi ili kuwawezesha Wabunifu kujiandaa na hatimaye kupata ajira katika nyanja mbalimbali za kiuchumi na kijamii.

Awali, Mkurugenzi Mtendaji wa TSA, Zahoro Muhaj amemshukuru Rais Samia kwa maono yake ya kuwatambua na kuwawezesha wabunifu ili waweze kuchagiza maendeleo ya nchi.

“ Tunaomba salam zetu zifikishwe kwa Mheshimiwa Rais, ambaye amekuwa akitubeba na kusafiri nasi katika nchi mbalimbali ili tupate uzoefu na kukua kama mtu kama mtu mmoja mmoja na baadae kama Taifa,” amesema Muhaj.

Kwa upande wake, Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Nelson Bonephace ameishukuru Serikali kwa jitihada za kuwawezesha wabunifu wawekezaji kukua.

Amesema katika kipindi cha mwaka 2020 hadi sasa zaidi ya dola za kimarekani Milioni 49 zimetolewa ambazo zinatumika kujenga Kampasi mpya za Kagera, Zanzibar na Lindi.

About Author

Bongo News

2 Comments

    Do you have a spam issue on this blog; I also am a blogger, and I was curious about your situation; we have developed some nice procedures and we are looking to exchange strategies with others, be sure to shoot me an email if interested.

    1Block Casino: Full Platform Overview
    1Block Casino is a modern gaming platform that offers a wide range of gambling entertainment for players worldwide. From classic slots to unique games like Plinko, the service provides everything needed for gambling enthusiasts. Let’s take a closer look at the main features of the platform, game categories, and key advantages.

    Game Categories
    1Block Casino boasts an extensive collection of games divided into several categories:

    Originals
    This section features exclusive games developed specifically for the platform. It’s a great choice for those seeking a unique gaming experience.
    Slots
    Classic and modern slots with various themes, bonuses, and mechanics are available here. Whether you prefer traditional fruit machines or innovative video slots, there’s something for everyone.
    Live Games
    Immerse yourself in the atmosphere of a real casino with live dealer games. These games are streamed in real-time, offering an authentic experience with professional dealers.
    Fishing Games
    A unique category that combines gambling with interactive gameplay. Fishing games are gaining popularity due to their engaging mechanics and potential for big wins.
    Poker
    Test your skills against other players in various poker formats. The platform offers both traditional and fast-paced poker games.
    Esports Betting
    Bet on your favorite esports teams and tournaments. This section caters to fans of competitive gaming who want to add excitement to their matches.
    Lucky Bets and High Rollers
    1Block Casino caters to all types of players, from casual gamers to high rollers. The Lucky Bets section highlights random wins, while the High Rollers section showcases impressive payouts from large bets. Whether you’re betting small or large amounts, the platform ensures fair play and exciting opportunities.

    Our Community and Partnerships
    1Block Casino values its community and collaborates with trusted partners to enhance the gaming experience. The platform proudly works with leading providers, ensuring top-quality games and services for its users.

    Legal Information
    1Block Casino is owned and operated by JogoMaster Limited, a company registered under number 15748. The company’s registered address is located in Hamchako, Mutsamudu, Autonomous Island of Anjouan, Union of Comoros.

    The platform is licensed and regulated by the Gaming Board of Anjouan (License No. ALSI-152406032-FI3). 1Block has passed all regulatory compliance checks and is legally authorized to conduct gaming operations for all games of chance and wagering.

    Why Choose 1Block Casino?
    Diverse Game Selection : From slots to live games, there’s something for every type of player.
    Transparency : All bets and payouts are clearly displayed, ensuring trust and fairness.
    Crypto-Friendly : The platform supports cryptocurrency transactions, making it convenient for modern players.
    Licensed and Regulated : With a valid license from the Gaming Board of Anjouan, players can enjoy a secure and legal gaming experience.
    Whether you’re a fan of classic casino games or looking to explore unique options like Plinko, 1Block Casino offers a comprehensive and enjoyable platform for all gambling enthusiasts.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *