MWANAHARAKATI WA KENYA AACHIWA NA KURUDI KWAO

MWANAHARAKATI WA KENYA AACHIWA NA KURUDI KWAO

Mwanaharakati maarufu wa Kenya, Boniface Mwangi, ameachiwa huru na kurudishwa kwao baada ya kushikiliwa kwa siku kadhaa na vyombo vya ulinzi na usalama vya Tanzania. Mwangi alisindikizwa kutoka Tanzania hadi Ukunda nchini Kenya na kuachiwa akiwa salama salmini. Serikali ya Kenya na familia yake wamethibitisha kurejea kwake. Mwanaharakati huyu mwenye historia ya kuhamasisha machafuko nchini […]

Read More
 KUMEKUCHA DARAJA LA MAGUFULI, RAIS SAMIA KULIZINDUA JUNI 19

KUMEKUCHA DARAJA LA MAGUFULI, RAIS SAMIA KULIZINDUA JUNI 19

Na Mwandishi Wetu, Mwanza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya ufunguzi wa Daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi) utakaofanyika Juni 19 mwaka huu. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ametoa taarifa hiyo katika mkutano wa hadhara wilayani Sengerema mkoani Mwanza wakati akizungumza mbele ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, ambaye yuko ziarani […]

Read More
 MIRADI YA MAJI INAENDELEA KUJENGWA NCHINI KOTE-MAJALIWA

MIRADI YA MAJI INAENDELEA KUJENGWA NCHINI KOTE-MAJALIWA

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea na ujenzi wa miradi ya maji katika maeneo yote nchini ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma hiyo karibu na makazi yao. Ameyasema hayo leo (Jumapili, Mei 18, 2025) wakati akizungumza na wananchi katika Eneo la Hungumalwa wilayani […]

Read More
 CG MWENDA ABAINI UKWEPAJI KODI MKUBWA VIWANDANI

CG MWENDA ABAINI UKWEPAJI KODI MKUBWA VIWANDANI

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda leo tarehe 17.05.2025 amefanya ziara ya kushitukiza kwenye baadhi ya Viwanda vilivyopo wilayani Mkuranga mkoani Pwani na kubaini kuwepo kwa ukwepaji mkubwa wa Kodi unaofanywa na wamiliki wa Viwanda hivyo. Akiwa katika kiwanda cha kuzalisha viatu vya Plastiki maarufu kama Yeboyebo cha DOLIN […]

Read More
 ULEGA AAGIZA UCHUNGUZI WATENDAJI WA BRT AWAMU YA NNE

ULEGA AAGIZA UCHUNGUZI WATENDAJI WA BRT AWAMU YA NNE

• Ataka ripoti ya wasimamizi na washauri wote• Akerwa na uzembe wao unaosababisha misongamano• Aeleza jinsi Rais Samia anavyoumia kwa foleni mijini Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameagiza kupelekewa taarifa kamili za wasimamizi na mshauri mwelekezi wa ujenzi wa miundombinu ya Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) Awamu ya Nne baada ya kushuhudia uzembe […]

Read More
 TANZANIA, MOROCCO KUONGEZA USHIRIKIANO SEKTA YA NISHATI

TANZANIA, MOROCCO KUONGEZA USHIRIKIANO SEKTA YA NISHATI

📌 Matumizi ya teknolojia kupewa kipaumbele Sekta ya Nishati 📌 Morocco wampongeza Rais Samia kwa usimamizi bora Sekta ya Nishati Na Mwandishi Wetu, Morocco JAMHURI ya Muungano wa Tanzania na Ufalme wa Morocco wamekubaliana kuimarisha ushirikiano wa matumizi ya teknolojia katika Sekta ya Nishati ili kuiwezesha sekta hiyo kuwa na mchango endelevu nchini. Hayo yamebainishwa […]

Read More
 ULEGA AVUNJA MKATABA WA MKANDARASI MZEMBE

ULEGA AVUNJA MKATABA WA MKANDARASI MZEMBE

Na Mwandishi Wetu, Tanga Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametangaza kuvunjwa kwa mkataba wa ujenzi wa barabara Mkoani Tanga baada ya Mkandarasi kutoka China kushindwa kutimiza masharti ya mkataba. Mkandarasi huyo, kampuni ya China Railway 15 Bureua Group anayejenga barabara ya Tanga – Pangani – Mkwaja – Bagamoyo (Makurunge) sehemu ya Tungamaa – Mkwaja – […]

Read More