RC CHALAMILA AONGOZA BARAZA LA BIASHARA MKOA

RC CHALAMILA AONGOZA BARAZA LA BIASHARA MKOA

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo April 05,2024 ameongoza baraza la biashara Mkoa wa Dar es Salaam katika Ukumbi wa Karimjee Jijini Dar es Salaam. Akiongea na waandishi wa Habari RC Chalamila amesema baraza hilo pamoja na mambo mengine limejadili uendelevu wa biashara za wazawa, sera za wawekezaji wa nje […]

Read More