BRELA YATEKELEZA WAJIBU WAKE KWA JAMII

BRELA YATEKELEZA WAJIBU WAKE KWA JAMII

 Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), leo tarehe 24, Juni 2023 imetekeleza wajibu wake kwa jamii kwa kufanya usafi katika Soko la Buguruni, Ilala jijini Dar es Salaam. Katika kutekeleza zoezi hilo BRELA imetoa vifaa mbalimbali vya usafi na kuungana na wafanyabiashara wa soko hilo kufanya usafi. Akitoa salam za Afisa Mtendaji Mkuu […]

Read More