RAIS SAMIA AIGUSIA RELI YA TAZARA BUNGENI

RAIS SAMIA AIGUSIA RELI YA TAZARA BUNGENI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ya Tanzania na Zambia zinajipanga kuhakikisha Reli ya Tazara inafanya kazi kwa uwezo wake wote na kuchochea uchumi wa nchi hizo mbili. Akihutubia kwenye Bunge la Zambia leo jioni, Rais Samia amesema kwa sasa reli hiyo inafanya kazi kwa asilimia nne tu ya […]

Read More