MBUNGE WA IGUNGA ZIARANI KUTATUA KERO ZA WANANCHI

MBUNGE WA IGUNGA ZIARANI KUTATUA KERO ZA WANANCHI

Igunga, Tabora Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa, anaanza ziara ya Kikazi Jimboni kwa ajili ya kutoa mrejesho wa Bunge la Bajeti kwa Wananchi, Kutatua kero za Wananchi na kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Mheshimiwa Ngassa (MB) anaanza ziara ikiwa ni utaratibu wake wa kutoa mrejesho kwa Wananchi mara baada ya […]

Read More