WATALAAM WA SHERIA KUTOKA URUSI WATUA NCHINI KUELEZA UTAALAM NA UZOEFU WAO KATIKA KUPAMBANA NA UHALIFU WA KIMATAIFA

WATALAAM WA SHERIA KUTOKA URUSI WATUA NCHINI KUELEZA UTAALAM NA UZOEFU WAO KATIKA KUPAMBANA NA UHALIFU WA KIMATAIFA

Watalaam kutoka Ofisi kuu ya Waendesha Mashtaka Nchi Urusi wamewasili hapa Nchini kwa ajili ya kushiriki katika kongamano la kitaaluma litakaofanyika tarehe 30 Aprili 2024 katika shule ya uanasheria kwa vitendo Tanzania ( Law School) Jijini Dar es Salaam. Katika kongamano hilo Watalaam hao watatoa mada tatu ikiwa ni pamoja na kueleza namna ambavyo Wanasheria […]

Read More
 VIUATILIFU NA MBOLEA VITUMIKE KWA KIWANGO MAALUM

VIUATILIFU NA MBOLEA VITUMIKE KWA KIWANGO MAALUM

Zikiwa zimebaki siku 3 kuelekea kusomwa kwa Bajeti ya Wizara ya Kilimo kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025, Wizara ya Kilimo imeeleza umuhimu wa utafiti katika kufanya kilimo cha kisasa, chenye tija na manufaa makubwa kwa wakulima Wizara hiyo imeweka bayana kuwa utafiti umeendelea kuwezesha upatikani wa mbegu Bora za mazao zenye sifa za kustahimili mabadiliko […]

Read More
 UTAFITI UMEWEZESHA UPATIKANAJI WA MBEGU BORA ZA MAZAO

UTAFITI UMEWEZESHA UPATIKANAJI WA MBEGU BORA ZA MAZAO

Zikiwa zimebaki siku 3 kuelekea kusomwa kwa Bajeti ya Wizara ya Kilimo kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025, Wizara ya Kilimo imeeleza umuhimu wa utafiti katika kufanya kilimo cha kisasa, chenye tija na manufaa makubwa kwa wakulima Wizara hiyo imeweka bayana kuwa utafiti umeendelea kuwezesha upatikani wa mbegu Bora za mazao zenye sifa za kustahimili mabadiliko […]

Read More