WAZIRI MAKAMBA AWASILI PARIS KUHUDHURIA MKUTANO WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA BARANI AFRIKA

WAZIRI MAKAMBA AWASILI PARIS KUHUDHURIA MKUTANO WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA BARANI AFRIKA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba (Mb.) amewasili jijini Paris, Ufaransa na kupokelewa na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Ufaransa, Mhe. Ali Mwadini tarehe 12 Mei, 2024. Mhe. Makamba anatarajia kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi kuhusu Nishati Safi ya Kupikia barani Afrika utakaofanyika tarehe […]

Read More
 WAZIRI MAKAMBA AWASILI PARIS KUHUDHURIA MKUTANO WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA BARANI AFRIKA

WAZIRI MAKAMBA AWASILI PARIS KUHUDHURIA MKUTANO WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA BARANI AFRIKA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba (Mb.) amewasili jijini Paris, Ufaransa na kupokelewa na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Ufaransa, Mhe. Ali Mwadini tarehe 12 Mei, 2024. Mhe. Makamba anatarajia kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi kuhusu Nishati Safi ya Kupikia barani Afrika utakaofanyika tarehe […]

Read More
 “NIMEJITOA KUWATUMIKIA WANA ARUSHA”- RC MAKONDA

“NIMEJITOA KUWATUMIKIA WANA ARUSHA”- RC MAKONDA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda amewaambia wananchi wa Mkoa wa Arusha kuwa nafasi na Cheo chake na nguvu zake zote amezielekeza kwa wananchi wa Mkoa wa Arusha wanaojihisi kusahaulika na kutotendewa haki na watumishi wasiokuwa waaminifu na wananchi wenye fedha. Mhe. Mkuu wa Mkoa Paul Christian Makonda ametoa kauli hiyo leo […]

Read More
 “MAKONDA TUMAINI LETU” WANANCHI ARUSHA WAFUNGUKA

“MAKONDA TUMAINI LETU” WANANCHI ARUSHA WAFUNGUKA

Vilio, nyuso za Huzuni, Majonzi na sura zilizokufa Matumaini ni mambo yaliyotawala kwenye Nyuso za mamia ya Wakazi wa Mkoa wa Arusha waliojitokeza kwa wingi kwenye Kliniki Maalum ya Mkuu wa Mkoa Mhe. Paul Christian Makonda ya kusikiliza na kutatua changamoto mbalimbali za Wananchi, zoezi ambalo limeanza leo Mei 08,2024 na likitarajiwa kukamilika Mei 10, […]

Read More
 MABORESHO SEKTA YA AFYA YAPUNGUZA VIFO VYA WATOTO WACHANGA RUFAA MBEYA

MABORESHO SEKTA YA AFYA YAPUNGUZA VIFO VYA WATOTO WACHANGA RUFAA MBEYA

Dkt. Rehema Marando ambaye ni Daktari Bingwa mbobezi wa watoto wachanga kutoka Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, Kitengo cha watoto wachanga amesema ndani ya kipindi cha miaka mitatu (3) serikali imefanya maboresho makubwa kwenye kitengo hicho kwa kufunga mitambo ya kisasa inayosaidia kunusuru maisha ya watoto wachanga wanaokabiliwa na matatizo mbalimbali ikiwemo kuzaliwa kabla […]

Read More
 SHEIKH WA MKOA WA ARUSHA AMUOMBEA KHERI RC MAKONDA.

SHEIKH WA MKOA WA ARUSHA AMUOMBEA KHERI RC MAKONDA.

Sheikh wa Mkoa wa Arusha Sheikh Shaaban Bin Juma Akiambatana na Viongozi wengine wa Baraza la Kiislamu Mkoa wa Arusha leo Mei 7, 2024 ameongoza sala Maalum ya kumuombea Kheri Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda ili aweze kufanikiwa kwenye Programu yake maalum inayoanza kesho Mei 08,2024. Mkuu wa Mkoa Mhe. Paul […]

Read More
 BAJETI YA WAKULIMA YAPITISHWA KWA KISHINDO KIKUBWA

BAJETI YA WAKULIMA YAPITISHWA KWA KISHINDO KIKUBWA

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeidhinisha matumizi ya ya Shilingi trilioni 1.24 kwa ajili ya Wizara ya Kilimo katika mwaka 2024/2025 kwa ajili ya utekelezaji wa mipango mbalimbali iliyoainishwa ili kuendelea kukuza Sekta ya Kilimo nchini. Kwa mujibu wa Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) amesema Wizara imeongeza kipaumbele kimoja na hivyo […]

Read More