TAIFA LIMEPATA MAFANIKIO MAKUBWA MIAKA 61 YA MUUNGANO-MAJALIWA

TAIFA LIMEPATA MAFANIKIO MAKUBWA MIAKA 61 YA MUUNGANO-MAJALIWA

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Tanzania ni Taifa lililopata mafanikio makubwa katika sekta mbalimbali za maendeleo katika kipindi cha miaka 61 ya Muungano. Amesema hayo leo (Ijumaa, Aprili 25, 2025) wakati akizungumza na maelfu ya wakazi wa Wilaya ya Ukerewe Mkoani Mwanza katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Getrude Mongela. Mheshimiwa Majaliwa amefanya […]

Read More
 RAIS SAMIA AIDHINISHA SH30BILIONI KUKARABATI BARABARA ZILIZOHARIBIWA NA MVUA

RAIS SAMIA AIDHINISHA SH30BILIONI KUKARABATI BARABARA ZILIZOHARIBIWA NA MVUA

• Ni zile zilizoharibiwa na mvua za sasa nchini• Mabilioni mengine kujenga miundombinu ya kudumu• Ulega akatisha Bunge kujionea uharibifu Morogoro• Atua na timu ya mainjinia ujenzi uwe wa viwango• Aagiza mainjinia wabaki saiti usiku na mchana Na Mwandishi Wetu, Morogoro SERIKALI ya Rais Samia Suluhu Hassan imepanga kutumia kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni […]

Read More
 NAIBU WAZIRI MKUU DKT. BITEKO AKEMEA MIGOGORO ARUSHA, ATAKA VIONGOZI KUWEKA MBELE MASLAHI YA WANANCHI

NAIBU WAZIRI MKUU DKT. BITEKO AKEMEA MIGOGORO ARUSHA, ATAKA VIONGOZI KUWEKA MBELE MASLAHI YA WANANCHI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka viongozi kote nchini kuweka maslahi ya wananchi mbele na kuacha migogoro inayotokana na ubinafsi wao. “Hawa Watanzania hawataki migogoro yetu sisi viongozi na wakati mwingine migogoro tuliyonayo ni migogoro ya maslahi binafsi. Tumeacha kuwahudumia wananchi tunashughulikiana, tunataka huyu akwame, huyu afanikiwe kwa sababu […]

Read More
 WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA ZANZIBAR AHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KAMPENI MSAADA WA KISHERIA

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA ZANZIBAR AHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KAMPENI MSAADA WA KISHERIA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Mhe. Dkt. Haroun Ali Suleiman amewasihi wananchi wa Kaskazini Unguja Visiwani Zanzibar, kujitokeza kwa wingi kwenye siku tisa za utekelezaji wa kampeni ya msaada wa Kisheria kwenye Mkoa huo, akimshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa ubunifu na ufadhili wa kampeni hiyo, aliyoitaja […]

Read More
 DKT. BITEKO AWAASA WAKRISTO KULIOMBEA TAIFA

DKT. BITEKO AWAASA WAKRISTO KULIOMBEA TAIFA

📌 Ashiriki ibada ya Pasaka AIC Makongoro 📌 Wakristo wakumbushwa ufufuko wa Yesu ulete mabadiliko maishani mwao 📌 Ataka wenye nia thabiti wajitokeze kugombea Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewaasa wakristo kuliombea Taifa amani, utulivu, umoja na mshikamano uendelee ikiwa ni kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu. Dkt. Biteko […]

Read More