SERIKALI YA TANZANIA NA JAPAN (JICA) KUSHIRIKIANA KUENDELEZA MICHEZO NCHINI

SERIKALI YA TANZANIA NA JAPAN (JICA) KUSHIRIKIANA KUENDELEZA MICHEZO NCHINI

Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amesema Wizara hiyo itaendelea kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Japan (JICA)katika sekta ya michezo nchini ili kuendelea kutoa ajira kwa watu wengi zaidi hatua inayosaidia kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla.  Bw. Yakubu amesema katika kikao chake na Mtaalamu wa michezo kutoka Shirika la Maendeleo ya […]

Read More