SIKU 100 ZA KATIBU MKUU MADINI MADARAKANI, BITEKO ATAKA SEKTA HIYO KUCHANGIA FEDHA ZA KIGENI

SIKU 100 ZA KATIBU MKUU MADINI MADARAKANI, BITEKO ATAKA SEKTA HIYO KUCHANGIA FEDHA ZA KIGENI

Waziri wa Madini, Doto Biteko *Dodoma* Zikiwa zimetimia Siku 100 tangu ateuliwe na kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Februari 27, 2023 kuiongoza Wizara ya Madini, Juni 7, 2023, Katibu Mkuu Kheri Mahimbali akizungumza na Watumishi wa Wizara, aliwaeleza Mikakati Kabambe inayolenga kuifanya Sekta ya Madini Kuzalisha Zaidi. […]

Read More
 NGOs ZINAZOJISHUGHILISHA NA USHOGA, MAPENZI YA JINSIA MOJA MARUFUKU NACHINGWEA

NGOs ZINAZOJISHUGHILISHA NA USHOGA, MAPENZI YA JINSIA MOJA MARUFUKU NACHINGWEA

Mkuu wa wilaya ya Nachingwea Mohamed Hassan Moyo akipiga marufuku NGOs zinazojishughulisha na ushoga, mapenzi ya jinsia moja na usagaji kuwa hazitakiwa kufanya kazi katika wilaya hiyo. MKUU wa wilaya ya Nachingwea Mohamed Hassan Moyo amepiga marufuku kwa taasisi na mashirika mbalimbali yasiyo ya kiserikali kujishughulisha mapenzi ya jinsia moja na ushoga.Akizungumza wakati wa kikao […]

Read More
 SERIKALI YA TANZANIA YAFUNGUA MILANGO KWA WAWEKEZAJI WA BIASHARA YA HIFADHI YA MAZINGIRA

SERIKALI YA TANZANIA YAFUNGUA MILANGO KWA WAWEKEZAJI WA BIASHARA YA HIFADHI YA MAZINGIRA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Selemani Jafo amesema Serikali inaendelea kufungua milango kwa wawekezaji wa Biashara ili kuhifadhi mazingira.  Amesema hayo leo Juni 06, 2023 wakati wa kikao na Mkuu wa Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora Dkt. Rashid Chuachua pamoja na ujumbe wake waliomtembelea kwa Kuwasilisha taarifa ya kusudio la kuanzisha mradi wa hifadhi ya misitu […]

Read More
 BANDARI YA KAREMA  KIVUTIO ZIWA TANGANYIKA , YAKWAMISHWA NA UBOVU WA BARABARA

BANDARI YA KAREMA KIVUTIO ZIWA TANGANYIKA , YAKWAMISHWA NA UBOVU WA BARABARA

Meneja wa Bandari za Ziwa Tanganyika, Edward Mabula Bandari ya kimkakati, Karema iliyopo Wilayani Tanganyika, Mkoa wa Katavi ambayo imejengwa kisasa zaidi imeanza kutoa huduma za kibandari ikiwemo kupokea na kusafirisha shehena kwenda sehemu mbalimbali nchini zikiwemo nchi jirani za RDC Congo, Burundi, Zambia na kwingine. Meneja wa Bandari za Ziwa Tanganyika, Edward Mabula amezungumza […]

Read More
 UCHUNGUZI WA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA: KIFO CHA MWANAFUNZI WA UDOM HAKIHUSIANI NA AJALI YA NAIBU WAZIRI DKT. FESTO DUGANGE

UCHUNGUZI WA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA: KIFO CHA MWANAFUNZI WA UDOM HAKIHUSIANI NA AJALI YA NAIBU WAZIRI DKT. FESTO DUGANGE

Tarehe 10 Mei, 2023, Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) iliyokuwa na nia ya kufanya uchunguzi juu ya kifo cha Nusura Hassan Abdallah, aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), ilitoa taarifa kwa umma kupitia vyombo vya habari. Uchunguzi huo ulifanywa kwa mujibu wa Sheria ya THBUB, Sura ya 391, ambayo […]

Read More