“MSIWAONEE HURUMA WANAOKWEPA KODI” DK. MWIGULU NCHEMBA
Na Mwandishi Wetu, Arusha Waziri wa Fedha Mhe. Dk. Mwigulu Nchemba ameitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutowaonea huruma watu wanaokwepa Kodi bila kujali ukubwa au umaarufu wao. Akifungua kikao cha nusu mwaka cha kutathmini utendaji kazi wa TRA kwa mwaka wa fedha 2024/2025 Jijini Arusha leo tarehe 06.01.2025 Waziri wa Fedha Dk. Nchemba amesema […]
Read More