WABUNGE KENYA WAMNG’OA GACHAGUA MADARAKANI, 281 WAPIGA KURA YA KUMKATAA

WABUNGE KENYA WAMNG’OA GACHAGUA MADARAKANI, 281 WAPIGA KURA YA KUMKATAA

Bunge la nchi ya Kenya limefanya uamuzi wa kumfurusha Makamu wa Rais Rigathi Gachagua kupitia kura iliopigwa. Katika kura hiyo, wabunge 281 waliunga mkono hoja ya kumuondoa kiongozi huyo madarakani huku wabunge 44 wakipiga kura kupinga na mmoja akikataa kupiga kura na hivyo kufikia theluthi mbili ya kura zilizohitajikakumuondoa afisini. Gachagua anakabiliwa na tuhuma mbalimbali […]

Read More
 RAIS SAMIA AIWEZESHA REA KUTOA RUZUKU BEI MITUNGI YA GESI , YAGAWAMAJIKO BANIFU

RAIS SAMIA AIWEZESHA REA KUTOA RUZUKU BEI MITUNGI YA GESI , YAGAWAMAJIKO BANIFU

📌REA kusambaza mitungi ya gesi 3,225 Gairo 📌Yaendelea kugawa majiko banifu kwa wananchi 📌Wananchi wapewa elimu matumizi ya nishati safi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa ruzuku ya bei kwenye mitungi ya gesi inayotolewa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ili Watanzania watumie nishati safi na salama kwa […]

Read More
 FEZA SCHOOLS YAPIGA HODI KANDA YA ZIWA

FEZA SCHOOLS YAPIGA HODI KANDA YA ZIWA

Na Mwandishi wetu GeitaWakati Monyesho ya 7 ya teknolijia ya madini yakiendelea mkoani Geita makamapuni mbalimbali yameshiriki katika maonyesho hayo ikiwa ni makampuni yanayo sambaza bidhaa mbalimbali migodini hasa wauzaji wa Magari na Mitambo Kwa mwaka huu kitu cha kipikee ni ushiriki wa shule binafsi katika maonyesho hayo ambayo Shule za Waja na Savannah Plain […]

Read More
 WAZIRI MKUU ASISITIZA MATUMIZI YA MIFUMO YA KIELEKTRONIKI KATIKA MAKUSANYO

WAZIRI MKUU ASISITIZA MATUMIZI YA MIFUMO YA KIELEKTRONIKI KATIKA MAKUSANYO

Ataka fedha za ndani zitumike katika kutekeleza miradi ndani ya halmashauri. WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka maafisa masuhuli kwenye Halmashauri zote nchini waweke msisitizo wa kutumia mifumo ya kielektroniki katika makusanyo badala la kukusanya kwa fedha taslimu ‘Cash’. Amesema kwa kufanya hivyo kutasaidia kuongeza mapato katika maeneo yao na kuepuka vishawishi vya kutumia vibaya fedha […]

Read More
 WAZIRI MKUU MAJALIWA: LISHE BORA NI KIPAUMBELE CHA SERIKALI

WAZIRI MKUU MAJALIWA: LISHE BORA NI KIPAUMBELE CHA SERIKALI

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa suala ya lishe ni kipaumbele muhimu kwa Serikali katika kuwezesha utekelezaji wa mipango ya maendeleo na shughuli za kiuchumi kwa jamii jamii zikiwemo za kilimo, uvuvi, ufugaji na biashara. Amesema hayo leo (Alhamisi, Oktoba 03, 2024) wakati alipofunga Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wadau wa Lishe kwenye ukumbi wa […]

Read More