BASHUNGWA AWABANA WAKANDARASI WANAOJENGA BARABARA YA MZUNGUKO DODOMA, ATAKA KAZI IKAMILIKE KWA WAKATI.

BASHUNGWA AWABANA WAKANDARASI WANAOJENGA BARABARA YA MZUNGUKO DODOMA, ATAKA KAZI IKAMILIKE KWA WAKATI.

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amekagua na kutoridhishwa na kasi ya ujenzi na usimamizi wa barabara ya mzunguko wa nje ya Dodoma (Dodoma Outer Ring Road) km 112.3, sehemu ya Ihumwa Dry Port – Matumbulu – Nala (km 60) kwa kiwango cha lami na kumtaka Mkandarasi Kampuni ya AVIC kuwasilisha mpango kazi utakaomuwezesha kukamilisha ujenzi […]

Read More
 MKOTYA MWENYEKITI MPYA WA BODI MGOMBEZI AMCOS, ASISITIZA NIDHAMU

MKOTYA MWENYEKITI MPYA WA BODI MGOMBEZI AMCOS, ASISITIZA NIDHAMU

Na Mwandishi Wetu, Korogwe WAKULIMA wa Chama cha ushirika cha msingi cha wakulima wadogo wa mkonge (Mgombezi Amcos) wamemchagua mwanahabari Khamis Mkotya kuwa Mwenyekiti wa Bodi. Uchaguzi huo umefanyika Septemba 21, 2024 katika eneo la Mgombezi lililopo wilayani Korogwe mkoani Tanga, ambapo wajumbe walichagua bodi mpya itakayokaa madarakani kwa kipindi cha miaka mitatu. Mkotya ambaye […]

Read More
 WAZIRI MKUU MAJALIWA ANADI SABABU 10 ZA KUWEKEZA TANZANIA

WAZIRI MKUU MAJALIWA ANADI SABABU 10 ZA KUWEKEZA TANZANIA

Ni katika jopo la wafanyabiashara mahiri wa Marekani WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa sababu 10 zinazoweza kumfaya mfanyabiashara yeyote kutoka Marekani avutiwe kuwekeza nchini. Amezitaja sababu hizo kuwa ni mahusiano imara, sera thabiti za kiuchumi, mazingira ya amani na uthabiti, nafasi ya kijiografia ya nchi, uwepo wa masoko makubwa, uwepo wa nguvu kazi ya vijana […]

Read More