AGIZO LA WAZIRI MKUU LAMRUDISHA MWANAFUNZI ALIYEPOTEA MBEYA
Agizo alilotoa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera na Kamati ya Usalama ya Mkoa huo wafanye uchunguzi zaidi na kwa haraka kuhusiana na tukio la kupotea kwa binti Esther Noah Mwanyiru ambaye alikuwa akisoma shule ya sekondari ya Panda Hill mkoani humo limezaa matunda, ambapo binti huyo amepatikana akiwa […]
Read More