SERIKALI YATOA SHILINGI BILIONI 3.6 KUBORESHA MIUNDOMBINU JKCI
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt.Peter Kisenge akimuelezea Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Seif Shekalaghemaendeleo ya ujenzi wa jengo la Utawala na vipimo alipotembelea jengo hilo leokwa ajili ya kuangalia maendeleo ya ujenzi. Shilingi bilioni 3.6 zimetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Mhe. Dkt. Samia Suhulu Hassan kujenga […]
Read More