MAJALIWA: SERIKALI MBIONI KUANZISHA BENKI YA USHIRIKA

MAJALIWA: SERIKALI MBIONI KUANZISHA BENKI YA USHIRIKA

Amesema kiasi hicho ni sawa na asilimia 78.5 ya mtaji wa sh. bilioni 20 zinazohitajika na kwamba kuanzishwa kwa benki hiyo, kutaviwezesha vyama vya ushirika kupata mikopo yenye riba nafuu na kuendesha shughuli zake kwa tija. Ameyasema hayo leo (Jumatano, Aprili 17, 2024) wakati akizungumza na wadau wa Kongamano la Kumi la Wadau wa Sekta […]

Read More
 KAMPUNI YA CRC YABURUZWA MAHAKAMNI NA BENKI YA EQUITY,YADAIWA MABILIONI YA FEDHA ILIZOKOPA

KAMPUNI YA CRC YABURUZWA MAHAKAMNI NA BENKI YA EQUITY,YADAIWA MABILIONI YA FEDHA ILIZOKOPA

Kampuni ya usafirishaji ya Continental Reliable Clearing (T) LIMITED ( CRC) inahangaika kujinusuru na hatari ya kufungwa kwa amri ya mahakama baada kuwasilisha mahakamani maombi ya zuio dhidi ya Benki ya Equity ili hatua hiyo isitangazwe katika vyombo vya habari. Kutokana na hali hiyo, Kampuni hiyo iko hatarini kufungwa kufuatia shauri la maombi lililofunguliwa na […]

Read More