BUMBULI WACHEKELEA UTEKELEZWAJI WA MIRADI, WAMPONGEZA RAIS SAMIA

BUMBULI WACHEKELEA UTEKELEZWAJI WA MIRADI, WAMPONGEZA RAIS SAMIA

Raisa Said,Bumbuli Madiwani Wa Halmashauri ya Bumbuli Mkoani Tanga wamemshukuru Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassani kwa kuwapelekea Miradi ya Maendeleo katika kata zao wanazo ziongoza. Pia Madiwani hao wametoa shukrani kwa Mbunge wao January Makamba kwa kuendelea kupigania Maendeleo na kusikiliza kero zao na kuzitafutia ufumbuzi Shukrani hizo wamezitoa wakati […]

Read More