TANZANIA NA INDIA SASA NI WASHIRIKA WA KIMKAKATI

TANZANIA NA INDIA SASA NI WASHIRIKA WA KIMKAKATI

India na Tanzania sasa zimebadili uhusiano wao kutoka wa kawaida kidiplomasia kuwa wa mkakati, taarifa ya Ikulu. Hatua hiyo imefikiwa kufuatia ziara ya Kitaifa ya Rais Samia Suluhu Hassan inayoendelea nchini India ambapo leo imetangazwa rasmi kwenye mkutano wake na Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi. Tofauti kati ya ushirikiano wa kidiplomasia na ule wa […]

Read More