DKT. BITEKO AWASILI MBEYA KWA ZIARA YA KIKAZI, AFUNGUKA KUHUSU CHANGAMOTO YA UMEME

DKT. BITEKO AWASILI MBEYA KWA ZIARA YA KIKAZI, AFUNGUKA KUHUSU CHANGAMOTO YA UMEME

Asisitiza siasa zisiwagawe wananchi Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt.Doto Biteko, leo amewasili mkoani Mbeya kwa ziara ya kikazi mkoani humo. Ziara hiyo pia itahusisha ukaguzi wa miradi mbalimbali ya umeme mkoani humo. Akiwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe, Dkt. Biteko amepokelewa na viongozi mbalimbali wakiongozwa na Mkuu wa […]

Read More
 DAWASA YAANZA MWAKA NA WAKAZI WA BONYOKWA, UJENZI KITUO CHA KUSUKUMA MAJI WAFIKIA ASILIMIA 30

DAWASA YAANZA MWAKA NA WAKAZI WA BONYOKWA, UJENZI KITUO CHA KUSUKUMA MAJI WAFIKIA ASILIMIA 30

Kaimu Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano, Ndugu Everlasting Lyaro amesema utekelezaji wa kazi hiyo unaridhisha na kuwataka wananchi wa Bonyokwa na maeneo jirani kuwa wavumilivu wakati mradi huu ukiendelea. “Kazi hii inalenga kuboresha hali ya upatikanaji wa maji kwa wananchi wanaopata maji kwa msukumo mdogo ambao wanaathiriwa na jiografia ya maeneo yao ambayo mengi ni […]

Read More