WAZIRI MKUU MAJALIWA AWAHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA MICHEZO

WAZIRI MKUU MAJALIWA AWAHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA MICHEZO

Na Mwandishi Wetu RUANGWA: WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka wananchi kwenye maeneo mbalimbali nchini washiriki katika michezo kwa kuwa michezo ni ajira, uchumi na huimarisha afya. “Tunapa faida nyingi kwa kufanya michezo, tushiriki katika michezo pamoja na kukimbia riadha kwa kuongeza vipaji tulivyonavyo kwani tukishindana tunapata na zawadi. Michezo ni uchumi. “ Mheshimiwa Majaliwa ameyasema […]

Read More