PROFESA MKENDA AFUNGUKA” TAIFA LINAHITAJI WALIMU BORA NA MAHIRI
Raisa Said,Korogwe Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda amesema Taifa linahitaji Walimu bora na mahiri katika kufundisha pamoja na uwezo wa kukaa na kuwalea vizuri watoto wa Kitanzania ili wafikie malengo yao na kusaidia nchi katika nyanja mbalimbali. Profesa Mkenda aliyasema hayo Jana wilayani Korogwe Mkoani Tanga wakati akifungua Mafunzo ya Kitaifa […]
Read More