BASHUNGWA AMSIMAMISHA MENEJA WA TANROADS MKOA WA LINDI, AKUTA MTAALAM WA FALSAFA AKISIMAMIA KAZI YA UJENZI.

BASHUNGWA AMSIMAMISHA MENEJA WA TANROADS MKOA WA LINDI, AKUTA MTAALAM WA FALSAFA AKISIMAMIA KAZI YA UJENZI.

Waziri Bashungwa akiwa ameambatana na Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Deo Ndejembi ameshuhudia urejeshwaji wa barabara ya Liwale – Nangurukuru iliyosombwa na maji ikisimamiwa na Mtaalam mwenye taaluma ya Falsafa kwa kusaidiwa na Wananchi wakati Mkandarasi akiwa hayupo eneo la Kazi. Bashungwa amechukua hatua hiyo leo tarehe 06 Machi 2024 wakati akikagua […]

Read More
 KASI YA MTO GIDE KUSOMBA MAKAZI YAMSHTUA PROF. KITILA MKUMBO

KASI YA MTO GIDE KUSOMBA MAKAZI YAMSHTUA PROF. KITILA MKUMBO

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji na Mbunge wa Jimbo la Ubungo Prof. Kitila Mkumbo ameahidi kuwa Serikali itachukua hatua madhubuti kuzuia mmomonyoko wa udongo unaokula makazi kutokana na kuhama kwa mito. Akiwa ziarani katika Kata ya Ubungo Prof. Kitila Mkumbo amejionea athari za mafuriko kwenye mto Gide na kushuhudia baadhi ya […]

Read More