“BAJETI KUU YA SERIKALI KUWEZESHA NISHATI SAFI YA KUPIKIA NA WANAWAKE” RAIS DKT SAMIA

“BAJETI KUU YA SERIKALI KUWEZESHA NISHATI SAFI YA KUPIKIA NA WANAWAKE” RAIS DKT SAMIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefungua Mkutano wa Nishati Safi ya Kupikia Barani Afrika unaofanyika katika Makao Makuu ya UNESCO jijini Paris, Ufaransa tarehe 14 Mei, 2024. Katika hotuba yake ya ufunguzi Mheshimiwa Rais Samia amesisitiza umuhimu wa nishati safi kwa Nchi za Afrika ili kudhibiti madhara yatokanayo na […]

Read More
 “WEKEZENI KATIKA NISHATI SAFI YA KUPIKIA”, WAZIRI JAFO AWAAMBIA WADAU WA MAZINGIRA

“WEKEZENI KATIKA NISHATI SAFI YA KUPIKIA”, WAZIRI JAFO AWAAMBIA WADAU WA MAZINGIRA

Serikali imetoa wito kwa mashirika na wadau mbalimbali wa mazingira kuwekeza katika nishati safi ya kupikia ili kurahisisha upatikanaji wa nishati hiyo kwa wananchi. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo ametoa wito huo alipokutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Shirika la UpEnergy Tanzania Bi. Rehema […]

Read More