DKT. BITEKO ASEMA BWAWA LA UMEME JULIUS NYERERE LIKO SALAMA

DKT. BITEKO ASEMA BWAWA LA UMEME JULIUS NYERERE LIKO SALAMA

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa licha ya mvua zinazoendelea kunyesha nchini, Bwala la Umeme la Julius Nyerere (JNHPP) lipo salama kutokana na kujengwa kisayansi na hivyo kuendelea kuzalisha umeme kupitia mtambo namba tisa huku mitambo mingine miwili ikiwa ukingoni kukamilika. Dkt. Biteko amesema hayo tarehe 18 Aprili […]

Read More