WAZIRI JAFO ATAKA TAFITI MABADILIKO YA TABIA NCHI, ILI KULINDA MAZINGIRA

WAZIRI JAFO ATAKA TAFITI MABADILIKO YA TABIA NCHI, ILI KULINDA MAZINGIRA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo ametoa rai kwa watafiti kufanya tafiti zitakazosaidia kupata ufumbuzi wa changamoto za kimazingira hususan mabadiliko ya tabianchi. Ametoa rai hiyo wakati akizindua Programu ya Utafiti kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi kupitia Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) leo Oktoba 11, 2023 jijini […]

Read More
 DKT BITEKO USO KWA USO NA RAIS MUSEVEN, AMPA SALAMU

DKT BITEKO USO KWA USO NA RAIS MUSEVEN, AMPA SALAMU

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni amekutana na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko Ikulu ya Entebbe nchini humo ili kupokea salamu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kufuatia Sherehe za Miaka 61 ya Uhuru wa Nchi ya Uganda. Mhe. Rais Museveni […]

Read More