MADONA ARUHUSIWA KUTOKA HOSPITALI BAADA YA KUWA ICU

MADONA ARUHUSIWA KUTOKA HOSPITALI BAADA YA KUWA ICU

Mwanamuziki na Muigizaji maarufu wa Marekani, Madonna (64) ameruhusiwa kutoka hospitali baada ya kuwepo kwenye kitengo cha wagonjwa mahututi (ICU) kwa siku kadhaa. Jumamosi iliyopita msanii huyo alikimbizwa hospitali baada ya kukutwa akiwa hajitambui. Taarifa za kuugua kwake zilitolewa na Meneja wake wa muda mrefu Guy Oseary ambaye alithibitisha kuwa msanii huyo alipatwa na maambukizi […]

Read More
 NABI KUJIUNGA NA KLABU HII

NABI KUJIUNGA NA KLABU HII

Aliyekuwa Kocha wa Young Africans SC, Nasreddine Nabi anahusishwa kujiunga na Mabingwa wapya wa Ligi Kuu Morocco, klabu ya FAR Rabat kama kocha mkuu kuelekea msimu ujao wa 2023/24. Dili la Nabi la kuwa kocha mkuu wa Klabu ya Kaizer Chiefs limeota mbawa baada ya miamba hiyo ya Afrika Kusini kumtangaza Molefi Ntseki kama kocha […]

Read More
 UNITED KUMSAJILI MASON MOUNT

UNITED KUMSAJILI MASON MOUNT

Manchester United imefikia makubaliano ya kumsajili kiungo Mason Mount kwa ada ya uhamisho ya pauni milioni 60 kutoka Chelsea. United itatanguliza pauni milioni 55 huku pauni milioni 5 zikitarajiwa kulipwa kulingana na utendaji wa nyota huyo kwa kipindi chote cha mkataba wake Old Trafford. Mount (24) raia wa England anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka mitano […]

Read More
 RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI HUU

RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI HUU

Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali. Amemteua Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani Mbarouk Salim Mbarouk kuwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi. Jaji Mstaafu Mbarouk ameteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti kwa kipindi cha pili. Balozi Omar Ramadhan […]

Read More
 WANANCHI WATAKIWA KUJITOKEZA UHAKIKI ANUANI ZA MAKAZI

WANANCHI WATAKIWA KUJITOKEZA UHAKIKI ANUANI ZA MAKAZI

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari sasa inaendesha zoezi la uhakiki wa taarifa za anuani za makazi ili kwa wale ambao waliachwa na mchakato wa awamu ya kwanza waweze kupatiwa anuani sambamba na kuhakikiwa taarifa zao. Zoezi hilo limeanza katika wilaya ya Ubungo kabla halijasambaa […]

Read More
 MANDONGA ATAMBULISHA NGUMI YAKE MPYA KATIKA MAONESHO YA SABASABA

MANDONGA ATAMBULISHA NGUMI YAKE MPYA KATIKA MAONESHO YA SABASABA

Bondia Machachari Bw. Karim Said maarufu Mandonga Mtu kazi ametembelea banda la Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ambapo ametangaza ngumi mpya iitwayo “Kingugi” anayotarajia kuitumia kwenye mchezo wa marudiano na Bondia Daniel Wanyonyi kutoka Kenya. Mandonga ametangaza ngumi hiyo Juni 29, 2023 kwenye maonesho ya 47 ya Kimataifa Sabasaba ambayo yanaendelea jijini Dar es […]

Read More
 RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanyauteuzi wa Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkaguzi Mkuu waNdani wa Serikali kama ifuatavyo:1) Amemteua Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani, Mhe. Mbarouk SalimMbarouk kuwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi. JajiMstaafu Mbarouk ameteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti kwa […]

Read More
 WAZIRI MKUU: MJADALA WA BANDARI USILIGAWE TAIFA

WAZIRI MKUU: MJADALA WA BANDARI USILIGAWE TAIFA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mjadala unaoendelea kuhusu uwekezaji kwenye bandari ya Dar es Salaam usiligawe Taifa kwa sababu Serikali ya awamu ya sita ni sikivu. “Mjadala unaoendelea kuhusu bandari ya Dar es Salaam usitugawe Watanzania. Usipelekee tukasambaratika. Tusitumie nafasi hiyo kutugawa kiitikadi, kidini au kisiasa. Sisi ni wamoja na jambo letu ni moja. Serikali […]

Read More