USANIFU KITUO CHA HUDUMA ZA PAMOJA MPAKA WA MANYOVU WAKAMILIKA
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akijibu swali bungeni, jijini Dodoma Serikali imeeleza kuwa imekamilisha usanifu wa Kituo cha Huduma za Pamoja Mpakani (One Stop Boarder Post- OSBP) Manyovu kilichopo mkoani Kigoma na ujenzi upo kwenye taratibu za awali za kumpata mkandarasi. Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri […]
Read More