RC MAKONDA AONGOZA WAKAZI WA ARUSHA KUFANYA USAFI MITAANI, UKITUPA OVYO FAINI SH1MILIONI
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda leo Jumanne Novemba 26, 2024 ameongoza wananchi wa Arusha kwenye zoezi la Ufanyaji wa usafi kwenye maeneo mbalimbali ya Jiji la Arusha, akihimiza wananchi kujenga utamaduni wa kufanya usafi mara kwa mara kwenye maeneo yao ya kazi na kwenye makazi yao ili kufanya mandhari ya Mkoa […]
Read More