SERIKALI KUJENGA KIWANJA KIPYA CHA MICHEZO JIJINI ARUSHA
Viongozi akiwemo Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw.Saidi Yakubu (wa tatu kushoto) pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Bw. JohnMongela (wa pili kulia) wakioneshwa ramani ya eneo utakapojengwa uwanja wamichezo Arusha. Mkoa wa Arusha umepewa dhamana kubwa ya kitaifa ya kujengwa kiwanja kipya cha michezo na kufanya Tanzania kuwa na viwanja […]
Read More