TBS YASISITIZA WAFANYABIASHARA KUZINGATIA VIWANGO

TBS YASISITIZA WAFANYABIASHARA KUZINGATIA VIWANGO

Raisa Said, Tanga Shirika la Viwango Tanzania (TBS ) limesisitiza wafanyabiashara kuzingatia bidhaa zao zimekidhi matakwa ya viwango kwani kwa wale wasiofuata taratibu hatua kali za kisheria zitachukuliwa ikiwemo kupigwa faini kuanzia million 10 hadi million 100. Hayo yamesemwa na Meneja Uhusiano na Masoko TBS Gladness Kaseka wakati akizungumza na waandishi wa habari na Wadau […]

Read More
 LAKE GROUP YATOA MSAADA KWA WATHIRIKA WA MAFURIKO RUFIJI

LAKE GROUP YATOA MSAADA KWA WATHIRIKA WA MAFURIKO RUFIJI

Serikali imezipongeza Kamati za Ulinzi na Usalama pamoja na Kamati za Maafa katika maeneo yote yaliyokumbwa na maafa ya mafuriko kwa namna wanavyosimamia zoezi la uokoaji na kuratibu kwa makini misaada inayotolewa kwa ajili ya waathirika. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mungano na Mazingira Dkt. Selemani Jafo ametoa pongezi hizo wilayani Rufiji, […]

Read More
 DKT. BITEKO AWASILI MBEYA KWA ZIARA YA KIKAZI, AFUNGUKA KUHUSU CHANGAMOTO YA UMEME

DKT. BITEKO AWASILI MBEYA KWA ZIARA YA KIKAZI, AFUNGUKA KUHUSU CHANGAMOTO YA UMEME

Asisitiza siasa zisiwagawe wananchi Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt.Doto Biteko, leo amewasili mkoani Mbeya kwa ziara ya kikazi mkoani humo. Ziara hiyo pia itahusisha ukaguzi wa miradi mbalimbali ya umeme mkoani humo. Akiwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe, Dkt. Biteko amepokelewa na viongozi mbalimbali wakiongozwa na Mkuu wa […]

Read More