DAWASA YAANZA MWAKA NA WAKAZI WA BONYOKWA, UJENZI KITUO CHA KUSUKUMA MAJI WAFIKIA ASILIMIA 30

DAWASA YAANZA MWAKA NA WAKAZI WA BONYOKWA, UJENZI KITUO CHA KUSUKUMA MAJI WAFIKIA ASILIMIA 30

Kaimu Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano, Ndugu Everlasting Lyaro amesema utekelezaji wa kazi hiyo unaridhisha na kuwataka wananchi wa Bonyokwa na maeneo jirani kuwa wavumilivu wakati mradi huu ukiendelea. “Kazi hii inalenga kuboresha hali ya upatikanaji wa maji kwa wananchi wanaopata maji kwa msukumo mdogo ambao wanaathiriwa na jiografia ya maeneo yao ambayo mengi ni […]

Read More