MAKAMBA AGAWA MAJIKO 123 YA GESI KWA SHULE ZA BUMBULI

MAKAMBA AGAWA MAJIKO 123 YA GESI KWA SHULE ZA BUMBULI

Raisa Said,bumbuliMbunge wa Jimbo la bumbuli January Makamba ametoa msaada Wa majiko ya gesi 123  katika shule za Sekondari 24 na Msingi 99 zilizopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli Mkoani Tanga. Msaada huo umetolewa wakati Wa kikao Cha tathimi ya elimu  na wakati wakupongeza shule zilizofanya  vizuri Mwaka 2023  nazilizotoa wanafunzi  waliofanya vizuri katika […]

Read More