RC CHALAMILA “SIJARIDHISHWA NA KASI YA MKANDARASI UWANJA WA MPIRA MWENGE”

RC CHALAMILA “SIJARIDHISHWA NA KASI YA MKANDARASI UWANJA WA MPIRA MWENGE”

Mhe Albert Chalamila amesema hayo leo Februari 17,2024 wakati alipotembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa uwanja huo ambapo amemtaka Mkandarasi Group six International kabla ya machi 30, 2024 awe amekamilisha ujenzi huo na uwanja uanze kufanya kazi mara moja. Aidha RC Chalamila amekemea vikali wakandarasi wasio na uwezo na wanachelewesha kazi kuanzia sasa hawatapatiwa […]

Read More