MICHEZO

JENGO LA YANGA KUKARABATIWA

JENGO LA YANGA KUKARABATIWA

Mkurugenzi wa Wanachama wa timu hiyo Haji Mfikirwa anabainisha kuwa Klabu ya Yanga Sc imeingia makubaliano ya ushirika na kampuni ya rangi ya Robbialac kwaajili ya ukarabati wa jengo lao la Makao Makuu yaliyopo mitaa ya Twiga na Jangwani Dar es Salaam.

About Author

Bongo News

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *