SERIKALI ITAENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA UHAMIAJI – DKT. BITEKO
📌 Aweka jiwe la msingi jengo la Uhamiaji na Makaazi ya Askari 📌 Awapongeza uhamiaji kwa kutoa huduma nzuri Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikali ya awamu ya Sita imekusudia kuendelea kuboresha huduma mbalimbali za kiuchumi na […]
Read More