GAMBO AJIANDIKISHA MTAA WA MSASANI KATA YA MURIET ARUSHA

GAMBO AJIANDIKISHA MTAA WA MSASANI KATA YA MURIET ARUSHA

Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo leo tarehe 12/10/2024 amejiandikisha kwenye Mtaa wa Msasani Kata Muriet. Gambo amewahamisisha wananchi wa Jimbo la Arusha kwenda kujiandikisha kwenye Mitaa wanaoishi ili kuweza kupata fursa ya kuchagua viongGambo ajiandikisha Mtaa wa Msasani Kata ya Muriet Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo leo tarehe 12/10/2024 amejiandikisha kwenye […]

Read More
 TFS YAIBUKA NA UTALII WA NYUKI KATIKA MAONESHO YA SITE 2024

TFS YAIBUKA NA UTALII WA NYUKI KATIKA MAONESHO YA SITE 2024

Dar es Salaam, Oktoba 11, 2024 – Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) leo imekuwa kivutio kikubwa katika Maonesho ya Nane ya Kimataifa ya Swahili International Tourism Expo (SITE), yaliyofunguliwa rasmi na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mlimani City, Jijini […]

Read More
 WADAU TPA WARIDHISHWA NA HUDUMA ZA BANDARI NCHINI

WADAU TPA WARIDHISHWA NA HUDUMA ZA BANDARI NCHINI

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WADAU mbalimbali na watumiaji wa huduma za bandari wameridhishwa na ubora wa huduma sambamba na utendaji kazi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) wakisema mamlaka imefanikiwa kukidhi matarajio ya wateja wake pamoja kuyafikia malengo iliyojiwekea. Wakizungumza katika kilele cha wiki ya huduma kwa wateja Jijini Dar es […]

Read More
 VIJANA TUMEANZIA ALIPOKANYAGA MWALIMU NYERERE

VIJANA TUMEANZIA ALIPOKANYAGA MWALIMU NYERERE

Mwaka 1967 Hayati Mwalimu Julius K. Nyerere aliongoza matembezi kuanzia kijijini kwao Butiama kwenda Mwanza mjini kuunga mkono matokeo ya Azimio la Arusha. Baada ya miaka 57, leo Oktoba 9, 2024 Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) tumeanzia pale alipopita Mwalimu Julius K. Nyerere kwa kutembea zaidi ya kilometa 200 kuenzi miaka 25 ya tangu […]

Read More
 WABUNGE KENYA WAMNG’OA GACHAGUA MADARAKANI, 281 WAPIGA KURA YA KUMKATAA

WABUNGE KENYA WAMNG’OA GACHAGUA MADARAKANI, 281 WAPIGA KURA YA KUMKATAA

Bunge la nchi ya Kenya limefanya uamuzi wa kumfurusha Makamu wa Rais Rigathi Gachagua kupitia kura iliopigwa. Katika kura hiyo, wabunge 281 waliunga mkono hoja ya kumuondoa kiongozi huyo madarakani huku wabunge 44 wakipiga kura kupinga na mmoja akikataa kupiga kura na hivyo kufikia theluthi mbili ya kura zilizohitajikakumuondoa afisini. Gachagua anakabiliwa na tuhuma mbalimbali […]

Read More
 RAIS SAMIA AIWEZESHA REA KUTOA RUZUKU BEI MITUNGI YA GESI , YAGAWAMAJIKO BANIFU

RAIS SAMIA AIWEZESHA REA KUTOA RUZUKU BEI MITUNGI YA GESI , YAGAWAMAJIKO BANIFU

📌REA kusambaza mitungi ya gesi 3,225 Gairo 📌Yaendelea kugawa majiko banifu kwa wananchi 📌Wananchi wapewa elimu matumizi ya nishati safi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa ruzuku ya bei kwenye mitungi ya gesi inayotolewa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ili Watanzania watumie nishati safi na salama kwa […]

Read More
 FEZA SCHOOLS YAPIGA HODI KANDA YA ZIWA

FEZA SCHOOLS YAPIGA HODI KANDA YA ZIWA

Na Mwandishi wetu GeitaWakati Monyesho ya 7 ya teknolijia ya madini yakiendelea mkoani Geita makamapuni mbalimbali yameshiriki katika maonyesho hayo ikiwa ni makampuni yanayo sambaza bidhaa mbalimbali migodini hasa wauzaji wa Magari na Mitambo Kwa mwaka huu kitu cha kipikee ni ushiriki wa shule binafsi katika maonyesho hayo ambayo Shule za Waja na Savannah Plain […]

Read More