GAMBO AJIANDIKISHA MTAA WA MSASANI KATA YA MURIET ARUSHA
Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo leo tarehe 12/10/2024 amejiandikisha kwenye Mtaa wa Msasani Kata Muriet. Gambo amewahamisisha wananchi wa Jimbo la Arusha kwenda kujiandikisha kwenye Mitaa wanaoishi ili kuweza kupata fursa ya kuchagua viongGambo ajiandikisha Mtaa wa Msasani Kata ya Muriet Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo leo tarehe 12/10/2024 amejiandikisha kwenye […]
Read More