RAIS DKT. SAMIA ATUNUKIWA TUZO YA HESHIMA NA TFF
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma (kulia)akipokea Tuzo ya Heshima kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kutoka kwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa MiguuTanzania (TFF) Ndg. Wallace Karia (kushoto) ikiwa ni kutambua mchango wake katikakuendeleza Soka nchini.Tuzo hiyo ameipokea katika Usiku wa […]
Read More