KITAIFA

RAIS SAMIA AWAANDALIA CHAKULA CHA JIONI VIONGOZI WAKUU WA NCHI MBALIMBALI NA WASHIRIKI WA MKUTANO WA RASILIMALI WATU IKULU DAR ES SALAAM

RAIS SAMIA AWAANDALIA CHAKULA CHA JIONI VIONGOZI WAKUU WA NCHI MBALIMBALI NA WASHIRIKI WA MKUTANO WA RASILIMALI WATU IKULU DAR ES SALAAM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na wageni wake Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Nyusi, Rais wa São Tomé na Principe Mhe. Carlos Vila Nova, pamoja na Rais wa Madagascar Mhe. Andry Nirina Rajoelina kwenye hafla ya
Chakula cha jioni alichowaandalia viongozi wanaoshiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali Watu, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 25 Julai, 2023.

About Author

Bongo News

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *