KITAIFA

WAZIRI UMMY AZINDUA MPANGO KABAMBE WA KAMBI YA MADAKTARI BINGWA WA RAIS SAMIA, IRINGA

WAZIRI UMMY AZINDUA MPANGO KABAMBE WA KAMBI YA MADAKTARI BINGWA WA RAIS SAMIA, IRINGA

Serikali imefanya uwekezaji mkubwa kwenye miundombinu ya huduma za afya nchini, upatikanaji wa vifaa tiba vya kisasa, na kuongeza wataalamu wa sekta ya afya ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za afya nchini

Hayo yamebainishwa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu wakati wa hafla ya uzinduzi wa mpango kabambe wa kambi ya ‘Madaktari Bingwa’ wa Rais Samia unaolenga kufikia Hospitali zote 184 za Halmashauri nchini, hafla iliyofanyika kwenye viunga vya Hospitali ya Manispaa ya Iringa (Frelimo) kitaifa leo, Jumatatu Mei 06.2024 ambapo amesema mpango huo unalenga kutimiza dhamira na maono ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan unaokusudia kuona Watanzania wanapata huduma bora za afya nchini

Waziri Ummy amesema mpango huo unalenga kubadilishana ujuzi, na uzoefu baina ya ‘Madaktari Bingwa’ wa Rais Samia na Madaktari wanaowakuta kwenye Hospitali za wilaya lengo likiwa ni kuhakikisha baada ya Madaktari hao kuondoka waache alama ya kufanyika kwa zoezi endelevu kwenye sekta hiyo

Sambamba na hilo amesema mpango huo unalenga kusaidia Hospitali za wilaya kuanzisha, na kusaidia uanzishwaji wa wodi maalumu za watoto wachanga (siku 0 hadi 28), kuanzisha vifaa visaidizi vya kusaidia watoto wachanga kupumua jambo ambalo ameagiza Halmashauri mbalimbali nchini kufanikisha ununuzi wa vifaa hivyo ili kwa pamoja kusaidia kuokoa maisha ya watoto wachanga pale wanapopata matatizo hayo

Amesema serikali ya awamu ya sita (6) inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imefanikisha kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi kwa zaidi ya asilimia 80 lakini, bado kuna changamoto kwenye vifo vya watoto wachanga kwa kuwa vimepungua kwa asilimia nne (4) pekee hivyo ni wakati muafaka sasa kila mmoja kwa nafasi yake kuunga mkono juhudi za Rais Samia kuhakikisha vifo vya watoto wachanga vinapungua kwa kiasi kikubwa, kwa kuwa Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema uwepo wa wodi maalumu ya watoto wachanga unapunguza vifo hivyo kwa zaidi ya asilimia 50

Aidha, Waziri Ummy ametoa wito kwa viongozi mbalimbali wa serikali ngazi za mikoa, wilaya na Halmashauri kote nchini kufanya kazi kwa karibu na Madaktari hao, sambamba kuwahamasisha wananchi kufika kwenye Hospitali hizo kwa ajili ya kuonana na Madaktari hao ambao watatumia siku tano (5) kuwepo kwenye Hospitali moja

Kwa mujibu wa Waziri Ummy amesema Madaktari hao ni pamoja na Madaktari Bingwa wa magonjwa ya afya ya uzazi, Madaktari Bingwa wa watoto na watoto wachanga, Madaktari Bingwa wa upasuaji, Madaktari Bingwa wa magonjwa ya ndani na Madaktari Bingwa wa huduma za ganzi na usingizi

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa mkoa wa Iringa, Mkuu wa wilaya ya Iringa Kheri James ameishukuru serikali ya awamu ya sita (6) inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa iliyofanya mkoani humo kwenye sekta ya afya ndani ya muda mfupi ambapo mageuzi hayo yanahusisha uboreshaji wa miundombinu kwenye maeneo mbalimbali ya kutolea huduma za afya, ununuzi wa vifaa na vifaa tiba vya kisasa nk

Hata hivyo kupitia hadhara hiyo Kheri James ameomba Hospitali hiyo ijengewe jengo maalumu la OPD, sambamba na kupatiwa gari litakalotumiwa na Mganga Mkuu wa wilaya hiyo (DMO) kwenye shughuli zake za kila siku

Hafla hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali kutoka Wizara ya Afya, Ofisi ya Rais TAMISEMI, viongozi wa serikali ngazi ya mkoa, wilaya na Halmashauri za mkoa wa Iringa, viongozi wa CCM na wananchi wa Iringa kwa ujumla wake.

About Author

Bongo News

8 Comments

    Thank you for every other fantastic article. Where else could anybody get that kind of info in such a perfect approach of writing? I’ve a presentation next week, and I’m at the search for such info.

    kinogo

    Howdy this is kind of of off topic but I was wondering if blogs use WYSIWYG editors or if you have to manually code with HTML. I’m starting a blog soon but have no coding knowledge so I wanted to get guidance from someone with experience. Any help would be greatly appreciated!
    смотреть фильмы онлайн бесплатно без регистрации

    Hello! I’m at work surfing around your blog from my new iphone 4! Just wanted to say I love reading through your blog and look forward to all your posts! Carry on the outstanding work!

    https://stovespareparts.ie/wp-content/pages/megapari_promo_code.html

    Howdy! Do you use Twitter? I’d like to follow you if that would be okay. I’m definitely enjoying your blog and look forward to new posts.

    https://abshop.com.ua/how-to-determine-headlight-sealant-quality.html

    I’m not sure why but this weblog is loading incredibly slow for me. Is anyone else having this issue or is it a problem on my end? I’ll check back later and see if the problem still exists.
    слово пацана кровь на асфальте

    Thank you for the auspicious writeup. It in fact was a leisure account it. Look complicated to far delivered agreeable from you! However, how could we be in contact?
    ответ на игру найди слова

    Please let me know if you’re looking for a writer for your weblog. You have some really good posts and I believe I would be a good asset. If you ever want to take some of the load off, I’d really like to write some material for your blog in exchange for a link back to mine. Please send me an email if interested. Regards!
    ответ на игру где логика

    Diagnostico de equipos
    Sistemas de ajuste: esencial para el rendimiento fluido y productivo de las maquinarias.

    En el campo de la tecnologia actual, donde la efectividad y la seguridad del dispositivo son de alta relevancia, los dispositivos de equilibrado tienen un tarea fundamental. Estos equipos especializados estan desarrollados para calibrar y regular piezas rotativas, ya sea en dispositivos productiva, automoviles de traslado o incluso en equipos de uso diario.

    Para los profesionales en soporte de equipos y los tecnicos, manejar con dispositivos de ajuste es crucial para garantizar el funcionamiento suave y confiable de cualquier sistema dinamico. Gracias a estas opciones modernas avanzadas, es posible minimizar significativamente las vibraciones, el estruendo y la esfuerzo sobre los rodamientos, mejorando la longevidad de piezas valiosos.

    De igual manera relevante es el tarea que juegan los equipos de ajuste en la asistencia al usuario. El apoyo profesional y el mantenimiento constante aplicando estos aparatos posibilitan proporcionar soluciones de gran estandar, incrementando la agrado de los clientes.

    Para los propietarios de empresas, la contribucion en estaciones de equilibrado y detectores puede ser fundamental para aumentar la productividad y rendimiento de sus equipos. Esto es particularmente relevante para los duenos de negocios que dirigen pequenas y modestas emprendimientos, donde cada aspecto cuenta.

    Por otro lado, los sistemas de calibracion tienen una extensa implementacion en el ambito de la fiabilidad y el gestion de excelencia. Habilitan localizar potenciales fallos, reduciendo mantenimientos caras y averias a los equipos. Incluso, los informacion generados de estos dispositivos pueden aplicarse para perfeccionar procesos y mejorar la presencia en motores de investigacion.

    Las sectores de aplicacion de los sistemas de calibracion comprenden multiples areas, desde la fabricacion de bicicletas hasta el supervision de la naturaleza. No importa si se trata de enormes fabricaciones manufactureras o limitados espacios hogarenos, los dispositivos de calibracion son indispensables para asegurar un operacion efectivo y sin interrupciones.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *