MICHEZO

WACHEZAJI YANGA WAFANYIWA VIPIMO VYA MOYO KABLA YA KUANZA MSIMU MPYA WA LIGI

WACHEZAJI YANGA WAFANYIWA VIPIMO VYA MOYO KABLA YA KUANZA MSIMU MPYA WA LIGI

Daktari bingwa wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)
Henry Mayala akimpima jinsi moyo unavyofanya kazi mchezaji wa timu ya mpira
wa miguu ya Yanga wakati wachezaji wa timu hiyo walivyofika JKCI jana kwa ajili
ya kufanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya moyo ikiwa ni maandalizi ya kuanza kwa
msimu mpya wa ligi na mashindano ya kimataifa ya vilabu

????????????????????????????????????
????????????????????????????????????

Afisa wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Janeth Haule akimpima urefu, uzito, na uwiano wa urefu na uzito (BMI) mchezaji wa timu ya mpira wa miguu ya Yanga African Sport Club Clement Mzize wakati wachezaji wa timu hiyo walivyofika JKCI jana kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya moyo ikiwa ni maandalizi ya kuanza kwa msimu mpya wa ligi na mashindano ya kimataifa ya vilabu

About Author

Bongo News

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *