TANZANIA NA JAPAN KUSHIRIKIANA KUENDELEZA MICHEZO NCHINI
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu (kulia)akisalimiana na Mtaalamu wa michezo kutoka Shirika la Maendeleo ya Japan (JICA)Dkt. Shiraishi Tomoya (kushoto) Juni 01, 2023 jijini Dodoma. Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amesemaWizara hiyo itaendelea kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Japan (JICA) katikasekta ya […]
Read More